Ukisikia maajabu makubwa ambayo hufikirii kukutana nayo hapa duniani hii ni moja wapo, Kuna mbuga moja ya kufugia nyoka wakubwa inatoa huduma ya “massage” kwa binadamu kwa kutumia nyoka hao “giant pythons” lakini kabla ya kuanza zoezi hilo nyoka hao hulishwa kuku ambao idadi yao hufikia 10 ili wasije kusikia njaa katikati ya shughuli hiyo.
morostreet
sote ni wadau wa stree kuanzia moro, tanzania mpaka dunia
Wednesday, 8 October 2014
Monday, 29 September 2014
Rooney Aomba Radhi Kufuatia Adhabu ya Kadi Nyekundu
Mshambuliaji
kutoka nchini Uingereza na klabu ya Man Utd, Wayne Mark Rooney
amewataka radhi wachezaji wenzake kufuatia adhabu ya kadi nyekundu
iliyomuangukia mwishoni mwa juma wakati wa mchezo wa ligi dhidi ya West
Ham Utd kwenye uwanja wa Old Trafford.
Sunday, 22 June 2014
Saturday, 21 June 2014
RAHATUPU
Ama kweli tembea uione Tanzania ilivyojaaliwa.
Ni rahatuuupu unapokuwa juu ya milima mizuri ya uluguru unaona mandhari nzuuri za kuvutia
Ni rahatuuupu unapokuwa juu ya milima mizuri ya uluguru unaona mandhari nzuuri za kuvutia
Friday, 20 June 2014
Karibuni
Wadau wangu pande zote za tanzania karibuni katika blog yenu pendwa niliyoianzisha kwa ajili ya kuelimishana kufurahishana kuonyana na kukosoana.
Subscribe to:
Posts (Atom)