Monday, 29 September 2014

Mshambuliaji kutoka nchini Uingereza na klabu ya Man Utd, Wayne Mark Rooney amewataka radhi wachezaji wenzake kufuatia adhabu ya kadi nyekundu iliyomuangukia mwishoni mwa juma wakati wa mchezo wa ligi dhidi ya West Ham Utd kwenye uwanja wa Old Trafford.