Rooney Aomba Radhi Kufuatia Adhabu ya Kadi Nyekundu
Mshambuliaji
kutoka nchini Uingereza na klabu ya Man Utd, Wayne Mark Rooney
amewataka radhi wachezaji wenzake kufuatia adhabu ya kadi nyekundu
iliyomuangukia mwishoni mwa juma wakati wa mchezo wa ligi dhidi ya West
Ham Utd kwenye uwanja wa Old Trafford.